sw_tn/jdg/02/20.md

814 B

Hasira ya Bwana iliwaka juu ya Israeli

Hasira ya Bwana inaelezewa kama moto uwakao.

Taifa hili limevunjika

"taifa" inawakilisha watu. "watu hawa wamevunjika" au "Waisraeli wamevunjika"

Baba

Hapa inamaanisha mababu wa mtu fulani au wa kundi fulani la watu.

Hawakuisikiliza sauti yangu

"sauti" inawakilisha yale aliyosema Bwana. "hawajatii niliyowaamuru" au "hawajanitii mimi"

Taifa lolote

"taifa" inawakilisha kundi la watu walioishi Kanaani kabla ya Waisraeli.

Watashika njia ya Bwana na kuifuata

Namna ambavyo Bwana anataka watu waishi inafananishwa kama vile wapo njiani. Watu kumtii Bwana ni sawa na kutembea katika njia zake.

Hakumruhusu Yoshua kuwashinda

"hakumuacha Yoshua kuwashinda"

Hakumruhusu Yoshua

Hapa "Yoshua" anawakilisha jeshi lake. Hakumruhusu Yoshua na jeshi lake.