forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
814 B
Markdown
32 lines
814 B
Markdown
|
# Hasira ya Bwana iliwaka juu ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Hasira ya Bwana inaelezewa kama moto uwakao.
|
||
|
|
||
|
# Taifa hili limevunjika
|
||
|
|
||
|
"taifa" inawakilisha watu. "watu hawa wamevunjika" au "Waisraeli wamevunjika"
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha mababu wa mtu fulani au wa kundi fulani la watu.
|
||
|
|
||
|
# Hawakuisikiliza sauti yangu
|
||
|
|
||
|
"sauti" inawakilisha yale aliyosema Bwana. "hawajatii niliyowaamuru" au "hawajanitii mimi"
|
||
|
|
||
|
# Taifa lolote
|
||
|
|
||
|
"taifa" inawakilisha kundi la watu walioishi Kanaani kabla ya Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# Watashika njia ya Bwana na kuifuata
|
||
|
|
||
|
Namna ambavyo Bwana anataka watu waishi inafananishwa kama vile wapo njiani. Watu kumtii Bwana ni sawa na kutembea katika njia zake.
|
||
|
|
||
|
# Hakumruhusu Yoshua kuwashinda
|
||
|
|
||
|
"hakumuacha Yoshua kuwashinda"
|
||
|
|
||
|
# Hakumruhusu Yoshua
|
||
|
|
||
|
Hapa "Yoshua" anawakilisha jeshi lake. Hakumruhusu Yoshua na jeshi lake.
|