sw_tn/jdg/02/09.md

610 B

Aliyopewa

"Ambayo Mungu alimpa"

Timnath Heresi

Hili ni jina la eneo.

Mlima Gaash

Hili ni jina la mlima

Kizazi hicho chote kilikusanyika kwa baba zao

Sentensi "kilikusanyika kwa baba zao" ina maanisha kwamba watu wa kizazi kile walikufa, nafsi zao zikaenda sehemu ile ile ambayo mababu zao waliokufa kwanza walienda. Ni namna nzuri ya kusema walikufa.

Baba

Hapa ina maanisha mababu wa mtu au kikundi fulani cha watu.

Kukua

"kuongezeka umri" au "kuwa mzee"

Ambao hawakumjua Bwana

"hawakumjua" ina maanisha hawakumtambua Bwana au nguvu zake kama ambavyo kizazi kilichopita kilimtambua.