forked from WA-Catalog/sw_tn
772 B
772 B
Maelezo ya jumla
Tazama; tafsiri ya majina
hawakuwaruhusu kuja bondeni
"aliwakataza kushuka bondeni"
bonde
eneo kubwa la ardhi lisilo na miti
Mlima wa Heresi
Hili ni jina la mlima mkubwa ambapo mji wa Aiyaloni ulijengwa.
Aiyaloni... Shaalbimu,
Haya ni majina ya miji
nguvu za kijeshi za nyumba ya Yusufu ziliwashinda
"kabila la watu wa uzao wa Yusufu waliweza kuwashinda kwa sababu walikuwa na jeshi lenye nguvu"
Nyumba ya Yusufu
Hapa "Nyumba" inamaanisha uzao. Manase na Efraimu walikuwa watoto wa Yusufu na "nyumba ya Yusufu" inaweza kuwa na maana ya uzao wa Manase na Efraimu. "uzao wa Manase na Efraimu"
kilima cha Akrabimu
Hiki kilikuwa njiani kusini mashariki na Bahari ya shamu. Pia inaitwa "njia ya nge"
Sela
Hili ni jina la mji