sw_tn/jdg/01/34.md

772 B

Maelezo ya jumla

Tazama; tafsiri ya majina

hawakuwaruhusu kuja bondeni

"aliwakataza kushuka bondeni"

bonde

eneo kubwa la ardhi lisilo na miti

Mlima wa Heresi

Hili ni jina la mlima mkubwa ambapo mji wa Aiyaloni ulijengwa.

Aiyaloni... Shaalbimu,

Haya ni majina ya miji

nguvu za kijeshi za nyumba ya Yusufu ziliwashinda

"kabila la watu wa uzao wa Yusufu waliweza kuwashinda kwa sababu walikuwa na jeshi lenye nguvu"

Nyumba ya Yusufu

Hapa "Nyumba" inamaanisha uzao. Manase na Efraimu walikuwa watoto wa Yusufu na "nyumba ya Yusufu" inaweza kuwa na maana ya uzao wa Manase na Efraimu. "uzao wa Manase na Efraimu"

kilima cha Akrabimu

Hiki kilikuwa njiani kusini mashariki na Bahari ya shamu. Pia inaitwa "njia ya nge"

Sela

Hili ni jina la mji