# Zebuloni hakuwafukuza
"Zebuloni" ni watu au askari wa kabila la Zebuloni.
# Kitroni ... Nahaloli
Haya ni majina ya mji katika nchi ya Kanaani.
# lakini Zebuloni akawalazimisha
"Zebuloni" ni watu wa kabila la Zebuloni.
# kazi ngumu
"kazi ngumu"