sw_tn/jdg/01/27.md

417 B

Bethsheani ...Taanaki ... Dori ... Ibleamu ... Megido

Haya ni majina ya miji

kwa sababu Wakanaani walikuwa wameamua kuishi katika nchi hiyo

"kwa sababu Wkanaani waliamua kwa dhati kuwa hawataiacha hiyo nchi"

Israeli ipokuwa na nguvu

"Israeli" inamaanisha watu. "Watu wa Israeli walipokuwa na nguvu"

waliwalazimisha Wakanaani wawatumikie kwa kazi ngumu

"Waliwalazimisha wakaanani wawafanyie kazi ngumu"