forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
532 B
Markdown
20 lines
532 B
Markdown
# Nyumba ya Yusufu
|
|
|
|
Hapa "Nyumba" inamaanisha uzao. Manase na Efraimu walikuwa watoto wa Yusufu na "nyumba ya Yusufu" inaweza kuwa na maana ya uzao wa Manase na Efraimu. "uzao wa Manase na Efraimu"
|
|
|
|
# kushambulia Betheli
|
|
|
|
"Betheli" inamaanisha watu wanaoishi Betheli.
|
|
|
|
# peleleza
|
|
|
|
kupata taarifa kwa siri
|
|
|
|
# jiji lililoitwa Luzu
|
|
|
|
Hii ni taarifa. watu wengine waliosoma kitabu hiki kwa mara ya kwanza yamkini walisikia kuhusu Luzu ila hawakufahamu kuwa ni sawa na mji ulioitwa Betheli.
|
|
|
|
# Wapelelezi
|
|
|
|
Watu wanaopata taarifa kwa siri
|