sw_tn/jdg/01/22.md

20 lines
532 B
Markdown

# Nyumba ya Yusufu
Hapa "Nyumba" inamaanisha uzao. Manase na Efraimu walikuwa watoto wa Yusufu na "nyumba ya Yusufu" inaweza kuwa na maana ya uzao wa Manase na Efraimu. "uzao wa Manase na Efraimu"
# kushambulia Betheli
"Betheli" inamaanisha watu wanaoishi Betheli.
# peleleza
kupata taarifa kwa siri
# jiji lililoitwa Luzu
Hii ni taarifa. watu wengine waliosoma kitabu hiki kwa mara ya kwanza yamkini walisikia kuhusu Luzu ila hawakufahamu kuwa ni sawa na mji ulioitwa Betheli.
# Wapelelezi
Watu wanaopata taarifa kwa siri