forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
533 B
Markdown
16 lines
533 B
Markdown
# Kuna yeyote miongoni mwenu ana mateso? Lazima aombe
|
|
|
|
"Kama kuna mtu yeyote anapata mateso yampasa kuomba"
|
|
|
|
# Je, mtu yeyote ni mwenye kuchangamka? Na aimbe sifa
|
|
|
|
"Mtu yeyote akiwa na furaha, yampasa aimbe nyimbo za kusifu"
|
|
|
|
# Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Na aite
|
|
|
|
"Mtu yeyote akiwa mgonjwa na aite watu"
|
|
|
|
# maombi ya imani yatamponya mgonjwa, na Bwana atamwinua
|
|
|
|
Mwamini akimuombea mgonjwa, Mungu atasikia maombi yake na kumponya mtu huyo. "Mungu atasikia maombi ya mwamini aombapo kwa imbani na kumponya mgonjwa.
|