sw_tn/jas/05/13.md

533 B

Kuna yeyote miongoni mwenu ana mateso? Lazima aombe

"Kama kuna mtu yeyote anapata mateso yampasa kuomba"

Je, mtu yeyote ni mwenye kuchangamka? Na aimbe sifa

"Mtu yeyote akiwa na furaha, yampasa aimbe nyimbo za kusifu"

Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Na aite

"Mtu yeyote akiwa mgonjwa na aite watu"

maombi ya imani yatamponya mgonjwa, na Bwana atamwinua

Mwamini akimuombea mgonjwa, Mungu atasikia maombi yake na kumponya mtu huyo. "Mungu atasikia maombi ya mwamini aombapo kwa imbani na kumponya mgonjwa.