forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
507 B
Markdown
36 lines
507 B
Markdown
# Lakini Mungu hutoa neema zaidi
|
|
|
|
"Japokuwa nafsi zetu hutamani tusivyoweza kuvipata, Mungu atatupa zaidi neema, tukijinyenyekeza wenyewe"
|
|
|
|
# Hutoa neema zaidi
|
|
|
|
Neema imezungumzwa kama kitu kinachoweza kutolewa.
|
|
|
|
# Kiburi
|
|
|
|
"mtu mwenye kiburi"
|
|
|
|
# nyenyekea
|
|
|
|
"mtu mnyenyekevu"
|
|
|
|
# Hivyo
|
|
|
|
"Kwa sababu hii"
|
|
|
|
# Jitoeni kwa Mungu
|
|
|
|
"mtii Mungu"
|
|
|
|
# Mpingeni ibilisi
|
|
|
|
"mpingine ibilisi" au "Msifanye mambo ambayo ibilisi anawaambia mfanye"
|
|
|
|
# atakimbia
|
|
|
|
"atakimbia mbali"
|
|
|
|
# ninyi
|
|
|
|
Hii inamaanisha hadhira ya Yakobo.
|