sw_tn/jas/04/06.md

507 B

Lakini Mungu hutoa neema zaidi

"Japokuwa nafsi zetu hutamani tusivyoweza kuvipata, Mungu atatupa zaidi neema, tukijinyenyekeza wenyewe"

Hutoa neema zaidi

Neema imezungumzwa kama kitu kinachoweza kutolewa.

Kiburi

"mtu mwenye kiburi"

nyenyekea

"mtu mnyenyekevu"

Hivyo

"Kwa sababu hii"

Jitoeni kwa Mungu

"mtii Mungu"

Mpingeni ibilisi

"mpingine ibilisi" au "Msifanye mambo ambayo ibilisi anawaambia mfanye"

atakimbia

"atakimbia mbali"

ninyi

Hii inamaanisha hadhira ya Yakobo.