sw_tn/jas/03/13.md

751 B

Nani miongoni mwenu ana hekima na ufahamu? Haya mtu huyo.

Yakobo anatumia swali hili kufundisha wasikilizaji wake kuhusu tabia ya unyofu. Maneno " hekima" na "ufahamu" ki-msingi yana maana ileile. "Mtu ambaye ana fikiri kuwa ana hekima sharti"

Onesha maisha mema.

"Onesha tabia njema" au "Ioneshe"

Kwa matendo yake katika unyenyekevu ambao unatoka katika hekima.

"Pamoja na matendo yake mema na unyenyekevu ambao hutokana na kuwa na hekima ya kweli."

Kuwa na wivu mkali na nia ya ubinafsi katika mioyo yenu.

Neno "moyo" hapa lina maana ya jaziba au fikra. "Hutapenda kushiriki jambo na wengine na daima unajiweka mwenyewe katika nafasi ya kwanza."

Usijiinue na kuwa kinyume na ukweli.

"Usiseme uongo na kujifanya kama una hekima."