sw_tn/jas/03/11.md

690 B

Usemi unaounganisha.

Baada ya kuweka mkazo kwamba maneno ya waumini hayatakiwi kuwa ya baraka na laana, Yakobo anatoa mifano ya kufundisha wasomaji wake kuwa watu wanamheshimu Mungu kwa kuishi katika njia sahihi.

Je, chemchemi moja hutoa maji matamu na machungu?

Yakobo anatumia swali lisilodai jibu kuwafundisha wasomaji kuhusu sanjari ya mpangilio wa maumbile. "Chemchemi moja haitoi maji matamu na machungu."

Ndugu.

"Waumini wezangu"

Je,mti wa mtini huzaa mizeituni, au mzabibu huzaa matunda ya mtini?

Yakobo anatumia neno la picha ya umbo kuwafundisha wasomaji kuhusu sanjari ya mpangilio wamaumbile. "Mtini hauwezi kuzaa mzeituni, wala mzabibu hauzai matunda ya mtini"