forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
393 B
Markdown
12 lines
393 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza juu ya watu wake waaminifu.
|
|
|
|
# kama itakavyokuwa siku za miti ndivyo zitakuwa siku za watu wangu
|
|
|
|
"Siku" ina maana ya urefu wa maisha yao. "kwa maana watu wangu wataishi kwa urefu kama miti inavyoishi"
|
|
|
|
# wao ni watoto wa wale waliobarikiwa na Yahwe
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wao ni watoto wa wale ambao Yahwe amewabariki"
|