sw_tn/isa/65/22.md

393 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza juu ya watu wake waaminifu.

kama itakavyokuwa siku za miti ndivyo zitakuwa siku za watu wangu

"Siku" ina maana ya urefu wa maisha yao. "kwa maana watu wangu wataishi kwa urefu kama miti inavyoishi"

wao ni watoto wa wale waliobarikiwa na Yahwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wao ni watoto wa wale ambao Yahwe amewabariki"