sw_tn/isa/65/20.md

346 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza juu ya watu wake waaminifu.

miaka mia moja

"miaka 100"

atachukuliwa kuwa mtu kijana

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu watamchukulia kuwa mtu kijana"

atachukuliwa kuwa amelaaniwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu watamchukulia mtu huyu kuwa amelaaniwa"