sw_tn/isa/63/15.md

658 B

Maelezo ya Jumla

Watu wa Israeli wanaendelea kuzungumza.

Iko wapi ari yako na matendo yako makuu?

Mwandishi anatumia swali kuonyesha hisia za ndani na kujali kwa sababu inaonekaba Mungu hawasaidii. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hatuoni ari yako na matendo yako makuu!"

Huruma yako na matendo yako ya upole yamewekwa kutoka kwetu

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Unaficha huruma yako na upole kutoka kwetu"

ingawa Abrahamu hatujui, na Israeli hatutambui

Mababu hawa wa taifa la Israeli wasingeweza kutambua vizazi vyao kwa sababu walibadilika sana. "Abrahamu" na "Israeli" wanawakilisha wakati wa zamani.