sw_tn/isa/60/15.md

466 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

bila mtu yeyote anayepi katikati yako

"na kila mtu akiepuka nchi yako" au "na kila mgeni akiepuka nchi yako"

Pia utakunywa maziwa ya mataifa, na utanyonya katika ziwa la wafalme

Hii ina maana ya utajiri na wing ambao utanyonywa kutoka kwa mataifa ya kigeni. Vishazi vyote vinarudia wazo moja kwa msisitizo.

Mkombozi

Mkombozi wa Israeli.

Mwenye enzi wa Yakobo

Mwenye enzi wa Israeli