forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
523 B
Markdown
24 lines
523 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# ngamia
|
|
|
|
"ngamia wadogo"
|
|
|
|
# Efa ... Kedari ... Nebayothi
|
|
|
|
Haya ni majina ya maeneo ya Uarabuni.
|
|
|
|
# Makundi yote ya Kedari yatakusanywa pamoja kwako
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu wa Kedari watakusanya makundi yao kwa ajilii yako"
|
|
|
|
# kondoo wa Nebayothi watatumikia mahitaji yako
|
|
|
|
Hii ina maana ya hitaji lao la kutoa sadaka.
|
|
|
|
# watakuwa sadaka inayokubalika juu ya madhabahu yangu
|
|
|
|
Mimi, Yahwe, nitazipokea juu ya madhabahu yangu"
|