forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
756 B
Markdown
24 lines
756 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hapa Yahwe anaanza kuzungumza.
|
|
|
|
# Wote wanajikusanya
|
|
|
|
"Wote" ina maana ya watu waliobakii wa Israeli ambao watakuja pamoja kurudi Yerusalemu.
|
|
|
|
# binti zako watabebwa mikononi mwao
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watabeba binti zako mikononi mwao" au "watabeba binti zako juu ya viuno vyao"
|
|
|
|
# Kisha utatazama na kung'aa, na moyo wako utashangilia na kumwagikia
|
|
|
|
Misemo hii inatumia maana moja na kusisitiza ya kwamba watakuwa na furaha sana kwa sababu ya kile kitakachotokea Yerusalemu.
|
|
|
|
# wingi wa bahari
|
|
|
|
Hii ina maana ya utajiri na bidhaa ambazo zitakuja Yerusalemu kwa njia ya meli, labda kupitia Bahari ya Mediteranea.
|
|
|
|
# utamwagwa nje kwako
|
|
|
|
Hii inaelezea ya kwamba wingi utakuwa kama maji ambayo yanabubujika nje.
|