sw_tn/isa/57/16.md

378 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Nimeficha uso wangu

Hii ina maana ya Mungu alikata tamaa kwa watu wake na hakuwasaidia au kuwabariki.

alikwenda kwa nyuma katika njia ya moyo wake

Hii ina maana ya Waisraeli waliendelea kumkataa Mungu wa kwelii kwa wa uongo. Hapa "nyuma" na "njia" ni maneno ya mahali yanayowakilisha motisha na hisia.