forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
538 B
Markdown
20 lines
538 B
Markdown
# watu wa agano la uaminifu
|
|
|
|
"watu ambao wana haki na kushika sheria ya Mungu" au "watu ambao ni waaminifu kwa Mungu"
|
|
|
|
# wanakusanywa mbali ... wanapumzika katika vitanda vyao
|
|
|
|
Zote hizi zina maana ya kufa.
|
|
|
|
# ya kwamba mwenye haki anakusanywa mbali kutoka katika uovu
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ya kwamba watu wenye haki hufa, na Yahwe huwachukua mbali kutoka kwa chote kilicho kiovu"
|
|
|
|
# Anainga katika amani
|
|
|
|
"Wenye haki huingia katika amani"
|
|
|
|
# wale wanaotembea katika unyofu
|
|
|
|
"wale ambao wamefanya kilicho sahihi"
|