sw_tn/isa/57/01.md

538 B

watu wa agano la uaminifu

"watu ambao wana haki na kushika sheria ya Mungu" au "watu ambao ni waaminifu kwa Mungu"

wanakusanywa mbali ... wanapumzika katika vitanda vyao

Zote hizi zina maana ya kufa.

ya kwamba mwenye haki anakusanywa mbali kutoka katika uovu

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ya kwamba watu wenye haki hufa, na Yahwe huwachukua mbali kutoka kwa chote kilicho kiovu"

Anainga katika amani

"Wenye haki huingia katika amani"

wale wanaotembea katika unyofu

"wale ambao wamefanya kilicho sahihi"