sw_tn/isa/55/08.md

609 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.

hili ni tamko la Yahwe

Hii inaweza kutamkwa tofauti ili kwamba nomino dhahania "tamko" linawekwa kama kitenzi "tamkwa" au "kusema kwa dhati". "hiki ndicho Yahwe alichotamka" au "hiki ndicho Yahwe alichosema kwa dhati"

kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia, kwa hiyo ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zako, na mawazo yangu kuliko mawazo yako

Yahwe anazungumzia mambo anayofanya na jinsi anavyofikiri kama kuwa bora zaidi au juu zaidi kuliko watu wanavyofanya au kufikiri, kama jinsi mbingu ilivyo juu sana kuliko nchi.