sw_tn/isa/51/12.md

681 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Mimi, mimi, ndiye yeye

Neno "Mimi" inarudiwa kwa msisitizo.

Kwa nini unawaogopa wanadamu ... kama nyasi?

Swali hili la balagha linasisitiza ya kwamba watu ambao wana ulinzi wa Mungu wanatakiwa kutowaogopa wanadamu. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Usiogope wanadamu ... kama nyasi"

ambao wametengezwa kama nyasi

Msemo huu unalinganisha wanamume na nyasi kusisitiza ya kwamba maisha yao ni mafupi na kwamba wanakufa upesi. "ambao wanaishi na kufa haraka kama nyasi" au "ambao watanyauka na kutoweka kama nyasi"

ambao wametengezwa kama

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambao ni kama"