sw_tn/isa/50/08.md

696 B

Taarifa ya Jumla

Mtumishi wa Yahwe anaendelea kuzungumza.

Nani atakayenipinga? Tusimame ... Nani mshtaki wangu? Na aje

Mtumishi anatumia maswali haya kusisitiza uya kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kumshtaki kwa haki kwa ubaya. "Kama mtu yeyote anaweza kunipinga, tusimame ... Kama mtu yeyote atanipinga, na aje"

Nani atanitamka kuwa na hatia?

Mtumishi anatumia swali hili kuweka uzito ya kwamba hakuna mtu wa kumtamka kuwa na hatia. "Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kunitamka kuwa na hatia"

watachakaa kama nguo; nondo utawala

Kule ktokuwa na mtu aliyesalia kumshtaki mtumishi kwa kuwa na hatia inazungumziwa kana kwamba washtaki walikuwa nguo ambazo hupwaya na huliwa na nondo.