forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
567 B
Markdown
20 lines
567 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Nani kati yenu ametanganza mambo haya?
|
|
|
|
Yahwe anatumia swali kusisitiza ya kwamba sanamu hazijawaambia mambo haya. "Hakuna kat ya sanamu zenu zimesema haya kwenu"
|
|
|
|
# Mshirika wa Yahwe atatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli. Atatekeleza mapenzi ya Yahwe dhidi ya Wakaldayo
|
|
|
|
Hapa "mshirika" ina maana ya Koreshi. Sentensi hizi mbili zina maana moja na zinatumika kwa ajili ya msisitizo.
|
|
|
|
# kusudi lake
|
|
|
|
"kusudi la Yahwe"
|
|
|
|
# Mimi, mimi
|
|
|
|
Neno "Mimi" linarudiwa kwa ajili ya msisitizo. "Mimi mwenyewe"
|