sw_tn/isa/48/14.md

567 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Nani kati yenu ametanganza mambo haya?

Yahwe anatumia swali kusisitiza ya kwamba sanamu hazijawaambia mambo haya. "Hakuna kat ya sanamu zenu zimesema haya kwenu"

Mshirika wa Yahwe atatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli. Atatekeleza mapenzi ya Yahwe dhidi ya Wakaldayo

Hapa "mshirika" ina maana ya Koreshi. Sentensi hizi mbili zina maana moja na zinatumika kwa ajili ya msisitizo.

kusudi lake

"kusudi la Yahwe"

Mimi, mimi

Neno "Mimi" linarudiwa kwa ajili ya msisitizo. "Mimi mwenyewe"