forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
798 B
Markdown
20 lines
798 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli
|
|
|
|
# Kwa ajili ya jina langu nitasitisha hasira yangu
|
|
|
|
Hapa neno "jina" lina maana ya sifa ya Yahwe. "Kwa ajili ya sifa yangu nitakawiza hasira yangu"
|
|
|
|
# na kwa ajili ya heshima yangu nitajizuia kukuangamiza
|
|
|
|
Sehemu hii ya sentensi ina maana moja kama sehemu ya kwanza.
|
|
|
|
# Tazama, nilikutakasa, lakinii sio kama fedha; nimekutakasa katika tanuu la mateso
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia kutumia mateso kusafisha watu wake kana kwamba walikuwa vyuma vya thamani na mateso yalikuwa tanuu ambano anawatakasa.
|
|
|
|
# kwa kuwa ninawezaje kuruhusu jina langu kudharauliwa?
|
|
|
|
Yahwe anatumia swali kusisitiza kuwa hawezi kuruhusu jina lake mwenyewe kudharauliwa. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa maana sitaruhusu yeyote kudharau jina langu"
|