sw_tn/isa/47/12.md

321 B

Kauli Unganishi

Yahwe anaendelea kuzungumza na Babeli kuhusu anguko lake kana kwamba alikuwa malkia ambaye ameaibishwa.

Ng'ang'ania kurusha laana zenu ... huenda utatisha mbali maafa

Yahwe anakejeli Babeli kwa kumwambia kuendelea kufanya uchawi wake kuweka mambo mabaya mbali, lakini anajua ya kuwa haitawasaidia.