forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
644 B
Markdown
16 lines
644 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Baba yako wa kwanza alitenda dhambi
|
|
|
|
Hii ina maana ya mwanzilish wa Israeli na inaweza kuwakilisha aidha Abrahamu au Yakobo.
|
|
|
|
# Nitamweka Yakobo katika uharibifu kamili
|
|
|
|
Hapa "nitamweka" inawakilisha kumweka mtu chini ya nguvu ya mwingine. Nomino ya "uharibifu" inaweza kutafsiriwa kwa msemo wa kitenzi. "Nitasababisha adui kumuangamzia Yakobo kabisa"
|
|
|
|
# Israeli katiika aibu ya shutumu
|
|
|
|
Kitenzi kinaweza kutumika kutoka msemo wa nyuma, ambayo msemo huu ni sambamba. Nomino "aibu" inaweza kutafsiriwa na msemo wa kitenzi. "Nitaruhusu adui kutukana na kudhalilisha Israeli"
|