sw_tn/isa/43/18.md

473 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Usiwaze juu ya vitu hivi vya awali, wala kufikiria vitu vya zamani sana

Misemo hii miwili ina maana moja na kusisitiza ya kwamba hawapaswi kuwa na wasiwasii juu ya kilichotokea kipindi cha nyuma.

Tazama

Hii ni lahaja. "Sikiliza" au "Zingatia kwa makini"

je! hauielewi?

Yahwe anatumia swali kufundisha watu wa Israeli. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "hakika umeigundua"