forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
473 B
Markdown
16 lines
473 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Usiwaze juu ya vitu hivi vya awali, wala kufikiria vitu vya zamani sana
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana moja na kusisitiza ya kwamba hawapaswi kuwa na wasiwasii juu ya kilichotokea kipindi cha nyuma.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "Sikiliza" au "Zingatia kwa makini"
|
||
|
|
||
|
# je! hauielewi?
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia swali kufundisha watu wa Israeli. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "hakika umeigundua"
|