sw_tn/isa/41/27.md

280 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza.

hakuna mmoja kati yao

"hakuna sanamu moja"

viumbe vyao vya chuma vilivyochongwa ni upepo na utupu

Yahwe anazungumzia kutokuwa na thamani kwa sanamu kana kwamba sanamu ni upepo na si kitu kabisa. "sanamu zao hazina thamani"