sw_tn/isa/40/18.md

551 B

Mtamlinganisha Mungu na nani? Kwa sanamu ipi mtamfananisha naye"

Isaya anatumia maswali mawili ya kufanana kusisitiza ya kwamba hakuna sanamu ambayo inaweza kufanana na Mungu. "Hakuna mtu ambaye unaweza kulinganisha na Mungu. Hakuna sanamu ambayo unaweza kumfananisha"

utamfananisha

Huu ni wingi na ina maana ya watu wote wa Mungu.

Fundistadi huichonga: sonara anavyoifunika kwa hahabu na kuichonga mikufu ya fedha kwa ajili yake

"Mtumishi mwenye ujuzi huiunda, mwingine huifunika kwa dhahabu, na kutengeneza mkufu wa fedha kwa ajili yake"