forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
883 B
Markdown
24 lines
883 B
Markdown
# Panda katika mlima wa juu, Sayuni, mletaji wa habari njema
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia Sayuni kana kwamba ilikuwa mjumbe anayetmka habari njema kutoka katika kilele cha mlima.
|
|
|
|
# Panda katika mlima wa juu
|
|
|
|
Wajumbe mara kwa mara husimama juu ya nchi iliyoinuka, kama vile milima, ili kwamba watu wengi waweze kusikia kile walichotangaza.
|
|
|
|
# Sayuni
|
|
|
|
Hii ina maana ya watu ambao wanaishi Sayuni. "nyie watu wa Sayuni"
|
|
|
|
# Yerusalemu. Wewe uletaye habari njema
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia Yerusalemu kana kwamba ilikuwa mjumbe ambaye hutangaza habari njema.
|
|
|
|
# na mkono wake wa nguvu hutawala kwa ajili yake
|
|
|
|
Hapa neno "mkono" linawakilisha nguvu ya Mungu. "na anatawala kwa nguvu kubwa"
|
|
|
|
# dhawabu yake ipo pamoja naye ... wale ambao amewaokoa huenda mbele zake
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja. Wale ambao aliwaokoa ni "zawadi" yake. "anawaleta wale aliowaokoa pamoja naye kama zawadi yake"
|