sw_tn/isa/38/20.md

12 lines
249 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Hezekia anaendelea maombi yake ya maandishi.
# niokoe
Hii ina maana ya kuokolewa kutoka katika kufa. Inawez akuwekwa wazi zaidi. "niokoe katika kufa"
# tutashangilia
Hapa "tutashangilia" ina maana ya Hezekia na watu wa Yuda.