sw_tn/isa/38/09.md

549 B

hivyo katikati mwa maisha yangu

"ya kuwa kabla sijawa mzee". Hii ina maana ya kufa katika umri wa kati, kabla ya kuzeeka.

Nitapita katikati ya malango ya kuzimu

Hii inazungumzia kufa kana kwamba kuzimu ilikuwa ufalme ambao una malango ambayo mtu huingia. "Nitakufa na kuelekea kuzimu"

Nimetumwa kule kwa miaka yangu iliyobaki

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kabla sijaishi miaka yangu yote nitaenda kaburini"

katika nchi ya wanaoishi

"Wanaoishi" ina maana ya watu ambao wapo hai" au "katika dunia hii ambamo watu wapo hai"