sw_tn/isa/35/10.md

849 B

Waliofidiwa wa Yahwe

"kufidia" ina maana ya "kukoa". Hii ina maana ya watu ambao Yahwe kawakomboa. "Wale ambao Yahwe amewaokoa"

furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao

Hii inatumia kichwa cha mtu kumaanisha mtu kwa ujumla. "watakuwa na furaha ya milele"

furaha na shangwe ... huzuni na tanafusi

Maneno "furaha" na "shangwe" kimsingi ina maana moja, kama vile "huzuni" na "kutanafusi". Kwa pamoja yanasisitiza mkazo wa hisia hizi.

furaha na shangwe itawapita wao

Hii inazungumzia watu kushindwa kabisa na furaha na shangwe kwa kuzipatia hisia hizi sifa za kibinadamu ya kuweza kumpita mtu kwa lazima. "watashindwa kabisa kwa shangwe na furaha"

huzuni na tanafusi itatoroka

Hii inazungumzia juu ya watu kutokuwa na huzuni na kutanafusi kwa kuzipa hisia hizi uwezo wa kibinadamu wa kukimbia. "hawatakuwa na huzuni na kutanafusi"