sw_tn/isa/34/11.md

969 B

wataishi kule

"wataishi katika nchi ya Edomu"

bundi

Bundi ni ndege pori wanaowinda usiku

kunguru

Huyu ni ndege mkubwa mweusi. Ni vigumu kutambua baadhi ya aina haswa za ndege zinazotajwa katika sehemu hii. Hata hivyo, wote walikuwa ndege ambao walipendelea kuishi katika maeneo ambayo hapakuwa na watu, kwa hiyo waliashiria sehemu zilizotelekezwa.

ndani mwake

"kule". Hii ina maana ya Edomu.

Naye atanyosha juu yake kamba ya kupimia ya uharibifu na timazi ya uvunjifu

Hii inamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa mjenzi mwangalifu kama akisababisha uharibifu katika Edomu. "Yahwe atapima nchi kwa uangalifu; atapima kuamua wapi kusababisha uharibifu na uvunjifu"

kamba ya kupimia ... timazi

Hivi ni vifaa vya mjenzi.

Waadilifu wake ... wakuu wake

"Waadilifu wa Edomu ... wakuu wa Edomu"

wakuu wake wote hawatukuwa kitu

Hii inakuza kuhusu wakuu kupoteza nafasi yao ya ufalme kwa kusema watakuwa si kitu. "wakuu wake wote hawatatawala tena"