forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
627 B
Markdown
20 lines
627 B
Markdown
# Nchi inaomboleza na kunyauka
|
|
|
|
Hii inazungumzia nchi kuwa kavu kana kwamba ilikuwa mtu anayeomboleza. "Nchi kuwa kavu na mimea yake kunyauka"
|
|
|
|
# anaona aibu na ananyauka
|
|
|
|
Hii inazungumzia miti ya Lebanoni kunyauka na kuoza kana kwamba Lebanoni ilikuwa mtu ambaye ameaibika. "Miti ya Lebanoni hunyauka na kuoza"
|
|
|
|
# Sharoni ... Bashani ... Karmeli
|
|
|
|
Miti mingi na maua iliwahi kuota katika maeneo haya.
|
|
|
|
# Sharoni ni kama jangwa wazi
|
|
|
|
Hii inalinganisha jinsi Sharoni ilivyo kavu kwa jangwa wazi. "Sharoni ni kavu kama jangwa wazi"
|
|
|
|
# Bashani na Karmeli hutikisa majani yao
|
|
|
|
"hakuna majani tena katika miti ya Bashani na Karmeli"
|