sw_tn/isa/33/01.md

313 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anazungumza kwa shairi kwa ajili ya Yahwe kwa Waashuru.

ambaye haujaangamizwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambao wengine hawajawaangamiza"

utaangamizwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wengine watakuangamiza"

watakusaliti

"wengine watakusaliti"