sw_tn/isa/31/01.md

1.0 KiB

Taarifa ya Jumla

Isaya anaendelea kuzungumza kwa watu wa Yuda.

wanaokwenda chini mpaka Misri

Msemo "kwenda chini" inatumika hapa kwa sababu Misri ipo chini kwa kimo kuliko Yerusalemu.

wanaokwenda chini

"watu hao wa Yuda wanaokwenda chini"

kuegemea farasi

Hii inazungumza juu ya watu kutegemea farasi wao kuwasaidia kana kwamba walikuwa wakitegemea farasi wao. "kutegemea farasi wao"

Mtakatifu wa Israeli

"Wameondoka mbali kutoka kwa Yahwe"

wala hawamtafuti Yahwe

"wala hawamuulizi Yahwe kuwasaidia"

ataleta maafa

Hapa neno "ataleta" lina maana ya "kusababisha". "atasababisha maafa kutokea"

hatarudisha maneno yake

Msemo "kurudisha maneno yake" yanazungumzia juu ya mtu kutotimiza kile alichosema atafanya kana kwamba maneno ambayo alisema yalikuwa kitu ambacho angeweza kuvuta kuelekea kwake. Hapa inasema ya kwamba Yahwe hatafanya hivi, ikimaanisha atatekeleza kile alichosema. "atafanya kile alichosema kuwa atafanya"

kuinuka dhidi ya

"kuadhibu"

nyumba ovu

Hii ina maana ya watu waovu wanaoishi pale. "wote wanaofanya mambo maovu"