forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kuzungumza kwa watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# wanaokwenda chini mpaka Misri
|
||
|
|
||
|
Msemo "kwenda chini" inatumika hapa kwa sababu Misri ipo chini kwa kimo kuliko Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# wanaokwenda chini
|
||
|
|
||
|
"watu hao wa Yuda wanaokwenda chini"
|
||
|
|
||
|
# kuegemea farasi
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumza juu ya watu kutegemea farasi wao kuwasaidia kana kwamba walikuwa wakitegemea farasi wao. "kutegemea farasi wao"
|
||
|
|
||
|
# Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"Wameondoka mbali kutoka kwa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# wala hawamtafuti Yahwe
|
||
|
|
||
|
"wala hawamuulizi Yahwe kuwasaidia"
|
||
|
|
||
|
# ataleta maafa
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "ataleta" lina maana ya "kusababisha". "atasababisha maafa kutokea"
|
||
|
|
||
|
# hatarudisha maneno yake
|
||
|
|
||
|
Msemo "kurudisha maneno yake" yanazungumzia juu ya mtu kutotimiza kile alichosema atafanya kana kwamba maneno ambayo alisema yalikuwa kitu ambacho angeweza kuvuta kuelekea kwake. Hapa inasema ya kwamba Yahwe hatafanya hivi, ikimaanisha atatekeleza kile alichosema. "atafanya kile alichosema kuwa atafanya"
|
||
|
|
||
|
# kuinuka dhidi ya
|
||
|
|
||
|
"kuadhibu"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ovu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya watu waovu wanaoishi pale. "wote wanaofanya mambo maovu"
|