forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
851 B
Markdown
24 lines
851 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Isaya anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Katika kila mlima wa juu ... mwanga wa jua wa siku saba
|
|
|
|
Isaya anafafanua kile itakayokuwa hali sahihi baada ya Yahwe kukomboa watu wake.
|
|
|
|
# katika siku ya machinjo makubwa ambapo minara huanguka
|
|
|
|
"Yahwe anapochinja adui zako na kusababisha minara yao yenye nguvu kuanguka"
|
|
|
|
# katika siku hiyo
|
|
|
|
Hapa "siku" inawakilisha kipindi cha muda kwa ujumla. "katika kipindi hicho"
|
|
|
|
# mwanga wa jua utakuwa na mwanga mara saba, kama mwanga wa jua wa siku saba
|
|
|
|
"jua litang'aa kwa mwanga wa jua saba" au "jua litatoa mwanga mwingi katika siku moja kama linavyotoa katika siku saba"
|
|
|
|
# Yahwe atafunga kuvunjika kwa watu wake na kuponya vilia vya kuwajeruhi kwake
|
|
|
|
Yahwe kufariji watu wake na kusababisha mateso yao kufika mwisho inazungumziwa kana kwamba angefunga vitambaa juu ya vidonda vyao.
|