sw_tn/isa/30/25.md

851 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.

Katika kila mlima wa juu ... mwanga wa jua wa siku saba

Isaya anafafanua kile itakayokuwa hali sahihi baada ya Yahwe kukomboa watu wake.

katika siku ya machinjo makubwa ambapo minara huanguka

"Yahwe anapochinja adui zako na kusababisha minara yao yenye nguvu kuanguka"

katika siku hiyo

Hapa "siku" inawakilisha kipindi cha muda kwa ujumla. "katika kipindi hicho"

mwanga wa jua utakuwa na mwanga mara saba, kama mwanga wa jua wa siku saba

"jua litang'aa kwa mwanga wa jua saba" au "jua litatoa mwanga mwingi katika siku moja kama linavyotoa katika siku saba"

Yahwe atafunga kuvunjika kwa watu wake na kuponya vilia vya kuwajeruhi kwake

Yahwe kufariji watu wake na kusababisha mateso yao kufika mwisho inazungumziwa kana kwamba angefunga vitambaa juu ya vidonda vyao.