sw_tn/isa/30/12.md

1.2 KiB

Mtakatifu wa Israeli

Mtakatifu wa Israeli

unakataa neno hili

Hapa "neno" inawakilisha ujumbe. "unakataa ujumbe huu"

kuamini katika ukandamizaji na udanganyifu na kuiegemea

Maana zaweza kuwa 1) viongozi wa Yuda wanaamini katika viongozi wa Misri mbao hutawala kwa kukandamiza na kudanganya wengine au 2) viongozi wa Yuda wamekandamiza na kudanganya watu wao wenyewe ili kuchukua fedha zao na kuituma kwa viongozi wa Misri kama malipo kwa ajili ya ulinzi.

kuiegemea

Hapa neno "kuiegemea" ina maana ya "ukandamizaji na udanganyifu". "kuziegemea"

egemea katika

Hii ni lahaja ambayo ina maana ya kuamini au kutegemea juu ya kitu.

kwa hiyo dhambi hii kwako itakuwa kama sehemu iliyovunjika ... kwa mara moja

Tashbihi hii ina maana ya kwamba Mungu ataangamiza watu wa Yuda ghafla kwa sababu ya dhambi zao.

kama sehemu iliyovunjka tayari kudondoka

Inaeleweka ya kwamba hii ni sehemu iliyovunjika ya ukuta. "kama sehemu iliyovunjika ya ukuta ambayo iko tayari kuanguka"

ambao anguko lake litatokea ghafla

Hii inaweza kundikwa ili kwamba nomino dhahania "anguka" inaelezwa kama kitenzi "anguka". "ambayo itaanguka ghafla"

ghafla, kwa mara moja

Hizi zina maana ya kitu kimoja na husisitiza jinsi ukuta utakavyoanguka kwa haraka.