sw_tn/isa/28/03.md

746 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anaendelea kuzungumza juu ya watu na mji wa Samaria kana kwamba walikuwa shada la maua.

Shada la maua lenye kiburi la walevi wa Efraimu watakanyagwa chini ya miguu

Isaya anaendelea kuzungumza juu ya watu na mji wa Samaria kana kwamba walikuwa shada la maua.

shada la maua lenye kiburi ... wa Efraimu ... ambao uko juu ya kichwa cha bonde tajiri

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Jeshi la adui litaponda walevi wenye kiburi wa Samaria kana kwamba walikuwa wakiponda maua chini ya miguu yao"

litakuwa kama mtini ulioiva ... hugugumia chini

Hii inazungumzia wanajeshi wa adui kuona uzuri wa Samaria na kupora kwa haraka kana kwamba walikuwa mtu ambaye huona mtini wa kwanza wa msimu na kula haraka.