forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
599 B
Markdown
12 lines
599 B
Markdown
# tumesikia
|
|
|
|
Hapa "tumesikia" ina maana ya Isaya na watu wa Israeli. Isaya anafafanua kitu katika siku za usoni kana kwamba kimekwisha tokea. "tutasikia"
|
|
|
|
# Nimeisha, nimeisha
|
|
|
|
Isaya anarudia msemo huu kusisitiza uchungu wake. Alijihangaisha sana kwa sababu aliwaona watu ambao walidanganya wengine na hawakufanya kile walichoahidi kufanya. "Nimekuwa dhaifu sana"
|
|
|
|
# Wadanganyifu wamefanya udanganyifu; ndio, wadanganyifu wamefanya udanganyifu
|
|
|
|
Isaya anarudia msemo huu kusisitiza uchungu wake. "Kweli, wale ambao hudanganya sasa wanadanganya wengine" au "Kweli, wadanganyifu wametenda udanganyifu"
|