forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
846 B
Markdown
24 lines
846 B
Markdown
# Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Yahwe wa majeshi ya Israeli.
|
|
|
|
# kwa vichwa vilivyonyoa
|
|
|
|
Hii ilikwa ishara ya maombolezo na kutubu.
|
|
|
|
# na tule na kunywa, kwa maana kesho tutakufa
|
|
|
|
Hapa "kula na kunywa" inawakilisha kuwa na sherehe na kuendekeza kula chakula na divai. "bora tupate starehe sasa kwa kula na kunywa vyote tunavyotaka, kwa maana tutakufa hivi punde"
|
|
|
|
# Hii ilifunuliiwa masikioni mwangu na Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Hapa "masikio" inawakilisha Isaya kama kamili. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe wa majeshi alifunua hili kwangu"
|
|
|
|
# Hakika udhalimu huu hautasamehewa, hata utakapokufa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Hakika sitakusamehe kwa ajili ya vitu hivi vya dhambi ulivyofanya, hata utakapokufa"
|
|
|
|
# hata utakapokufa
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa 1) Yahwe hatawasamehe, hata baada yao kufa au 2) Yahwe hatawasamehe mpaka wafe.
|